Burudani
Dj Khaled kuanza na Davido kuiteka Afrika
Dj khaled kutokea nchini Marekani ana mipango ya kuutangaza zaidi muziki barani Afrika.
Dj huyo ambaye ameshafanya kazi na wasanii wakubwa Marekani amesema moja ya mipango yake ni kufanya kazi na wasanii wakubwa wa Afrika.
Hii ni baada ya kukutana na msanii wa Nigeria, Davido na kueleza hayo. Huenda Davido tayari yupo katika mipango ya Dj Khaled.