Burudani

Fally Ipupa kuachia albamu mpya mwezi Julai

Fally Ipupa ameahidi kuachia albamu yake mpya Julai 7 mwaka huu.

Kupitia mtandao wa Twitter, msanii huyo kutoka Congo DRC ametaja jina la albamu hiyo ni ‘Tokooos’.

“Albamu mpya #Tokooos July 7 ? – Inapatikana katika digital awali kuanzia Ijumaa,” ameandika kwenye mtandao huo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents