Mahojiano
G Nako ataja wasanii wa Kenya na Nigeria aliofanya nao ngoma, Aeleza sababu za kutoungana na Alikiba kwenye tour yake “Gusanisha ngoma namba moja Tanzania” – Video
G Nako ataja wasanii wa Kenya na Nigeria aliofanya nao ngoma, Aeleza sababu za kutoungana na Alikiba kwenye tour yake "Gusanisha ngoma namba moja Tanzania" - Video
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @gnakowarawara amefunguka kuhusu ngoma yake mpya ya #Gusanisha na kusema kuwa ndio ngoma namba moja kwa sasa Tanzania na Afrika mashariki.
Mbali na hilo @gnakowarawara amefunguka kuhusu baadhi ya Collabo alizozifanya nchini Kenya pamoja na Nigeria kwa ajili ya kuupeperusha muziki wa Bongo Fleva kimataifa. Alipoambia ajipe maneno mawili G Nako alisema “G Nako ni msanii mkali na anaupenda kuona mafanikio katika tasnia ya muziki nchini kwake”
By Ally Juma.