Burudani
G ra aachia nyimbo mpya
Mkali wa muziki wa kizazi kipya anayekuja kwa kasi jira joseph tembo, mwenye umri wa miaka 19, toka pande za Malindi Kenya ameachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la take it slow, ikiwa ni wimbo wake wa tatu tangu alipoingia kwenye gemu. Nyimbo hiyo imetengenezwa kwenye studio ya Balozi records iliyopo huko huko Malindi chini ya Producer mahili Eazy-J .
Ila mwisho wa siku anasema….
I APPEAL FOR YOUR PROMOTION AND SUPPORT FOR THIS SONG I ALSO WELCOME ANY, ADVICE AND OPINION REGARDING THE SONG THANKS
G rafeat Learnheart
{mmp3}Gra-take it slow-ftkleanheart.mp3{/mmp3}