Videos
Harmonize aachia video ya wimbo wa ‘NITEKE’ baada ya kutikisa na Kainama, amtumia mchumba wake Sara kwenye video
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva kutoka WCB, Harmonize ameachia video nyingine ya wimbo wake wa NITEKE kutoka kwenye EP yake ya Afro Bongo.
Kwenye video hiyo, amemtumia mchumba wake Sara kama video Queen na asilimia kubwa ya video hii imechukuliwa Zanzibar na aliyeiongoza ni Director kenny kutoka Zoom Production. Enjoy