Michezo

Hii ndio heshima aliyopewa Zlatan Ibrahimovic na Shirikisho la soka la Sweden

Shirikisho la soka la Sweden limepanga kumpatia heshima ya kumtengenezea sanamu mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic kutokana na mchango wake aliowahi kuutoa kwenye timu ya taifa.

3aa2a1f000000578-3958812-image-m-4_1479766616240

Zlatan amefanikiwa kushinda tuzo ya mwanamichezo bora wa Sweden kwa miaka 10 mfululizo kabla ya kutangaza kustaafu kuichezea timu hiyo baada ya michuano ya kombe la Euro 2016. Sanamu lake hilo litawekwa nje ya uwanja wa Friends Arena uliopo katika jiji la Stockholm.

3aa2ae5f00000578-3958812-image-a-7_1479766736470

Zlatan mwenye umri wa miaka 36 amefanikiwa kuifungia timu hiyo magoli 62 kati ya michezo 114 aliyocheza.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents