Michezo

Hii ndio perfomance ya Sanchez katika michezo ya kirafiki Marekani

Hii ndio perfomance ya Sanchez katika michezo ya kirafiki Marekani

Mchezaji wa Manchester United, Alexis Sanchez usiku wa jana alisaidia klabu yake kushinda mechi ya kirafiki jumla mabao 2 – 1 dhidi na Real Madrid huko Miami nchini Marekani.

Raia huyo wa Chile alisaidia klabu yake kushinda mchezo huo kwani aliifungia goli dakika ya 1`8 na kutoa assist kwa Hererra dakika ya 27 ingawa goli la Madrid lilipatikana kupitia Benzema dakika ya 45,hivyo hadi mwisho wa mchezo Mancester United 2-1 Madrid.

Sanchez ameonyesha kiwango kikubwa mno kwenye mchezo huo dhidi ya mabingwa wa kihistoria wa klabu bingwa barani Ulaya klabu ya Real Madrid baada ya kufunga bao la kwanza na lamapema.

By Clinton Abraham Sumari

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents