Michezo
Hivi ndio vikosi vya Simba SC vs Mtibwa Sugar
Klabu ya Simba imetangaza kikosi chake cha maangamizi dhidi ya Mtibwa Sugar, kikosi ambacho kitaongozwa na goli kipa, Aishi Manula huku Okwi na John Bocco wakiongoza mashambulizi kunako dimba la Uwanja wa Uhuru.
Tazama kikosi kamili cha Simba na Mtibwa Sugar.