Michezo
Huyu ndio mrembo anayedaiwa kuwa na uhusiano na Cristiano Ronaldo
Kwa mujibu wa Daily Mail, mrembo anayeweza kuwa na uhusiano na Cristiano Ronaldo kwa sasa ni Alessia Tedeschi, muigizaji na mlimbwende wa Italia.
Taarifa kutoka Italia zimedai kuwa Ronaldo anadaiwa kumpa mwaliko wa VIP Tedeschi nchini Hispania kumwangalia akicheza na kisha jioni kutoka pamoja.
Wawili hao bado hawajathibitisha kuhusu uhusiano.