Burudani

In African bend na safari za nje

In_Africa_bend_Face
Kuna makundi mengi ya muziki wenye radha wa aina yake, hivi sasa hayasikiki kabisa… leo nikapata shauku ya kulitembele kundi moja la In African Band lenye kambi yake Temeke Sound Craft, kujua mbona kimya ndipo nikaambiwa storii hii kwa ufupi.


Kwamba kwa sasa wapo kimya kutokana na  safari nyingi za Asia na Ulaya, ambazo wanakwenda kimuziki. Mmoja wa wanamuziki wa kundi hilo Bizman, alisema kwamba hivi sasa wapo mazoezini kwaajili ya kukamilisha nyimbo mbili ambazo watazitoa hivi karibuni.

Alisema ila katika  miezi ya hivi karibuni wanatarajia kuanza tena kwa safari zao, ambazo  zinawachukua muda mrefu, kwakuwa wanakuwa wantembelea sehemu mbalimbali kwaajili ya kutoa burudani.
In_Africa_bend_Bizman
Bizman mwanamuzki mkongwe na mpigakinanda mashuhuri, hasa pale alipopiga kwenye wimbo wa Tid wa Zeze.in_Africa_bend_Figueiredo
Figueiredo mpiga bezi wa In Africa
In_Africa_bend_khamisi_Mlenge
Huyu ni mwimbaji na mpiga hii sijui wanaita nini phone
in_Africa_Bend_Nurudn_Alfani
Nurudin Alfan mkunguta solo, pale kati na kufanya mambo yawe sawa.
in_africa_bend_pop_Du
Pomp Du Dominic mzee wa magoma, ambaye akichanganya mpango mzima unaenda sawa. hebu mtizame kwenye nyimbo zao mbili tatu kama  Kidege na nyingine,
In_Africa_Bend_Richard_Mwanisawa

Richard Mwanisawa, mpiga drams na mwingine hapa hayupo anaitwa Stiven William akiwa kwenye upande wa kuimba akishirikiana na Bizman

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents