Michezo

James Rodriguez asainishwa na Real Madrid kwa dau la £60m

Real Madrid wamekubali kumsainisha mshindi wa kiatu cha dhahabu katika kombe la dunia lililomalizika hivi karibuni nchini Brazi, James Rodriguez kutoka Monaco.

article-2701192-1FE06CA800000578-51_634x415

Mchezaji huyo wa Colombia amesaini mkataba wa miaka sita na timu hiyo na alifanyiwa vipimo Jumanne hii.

article-2701374-1FE0BA6D00000578-988_634x424
Nipo sawa

Madrid imelipa dau la £60million, na kuufanya uhamisho wa Rodriguez kushika nafasi ya nne katika orodha ya uhamisho ghali zaidi kwenye historia ya soka baada ya Gareth Bale, Cristiano Ronaldo na Luis Suarez.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents