Burudani

JLo alinizingua kolabo, ila nitamtafuta Nick Minaj- Shilole

Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ametoa ufafanuzi wa kushindikana kufanya kolabo yake na Jennifer Lopez(JLo) ambayo msanii huyo alitangaza kufanya nae.


Shilole amesema kuwa alisha onana na meneja wa msanii huyo kutokea Marekani na kuongea nae kuhusu mpango wake wa kufanya kolabao, lakini baadae ilishindikana hivyo naye ameshindwa kwenda tena Marekani kutokana na kuwa busy.

“Nilishindwa kurudi tena Marekani kutokana na mambo niliokuwa nayo ikiwemo ya kifamilia na pia Jlo nae alikwa busy busy na nyimbo yake ya “Ain’t your mama” nikaona basi tusisumbuane sana mwache aendelee na mambo yake, ila nitamfuta Nick Minaj.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents