Burudani
Joti awavunja mbavu wasanii wenzake na viongozi wa Dstv (+Video)
Joti awavunja mbavu wasanii wenzake na viongozi wa Dstv (+Video)
Mchekeshaji kutoka Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ hapo jana usiku amenogesha uzinduzi wa vipindi vya Kampuni ya Dstv baada ya kuwavunja mbavu kwa vicheko watu wengi waliyohudhuria ghafla hiyo.