Burudani
Jux azungumzia mahusiano yake na Vanessa Mdee ‘ watu hawaoni vitu vyanyuma vinavyoendelea’ (+video)
Msanii wa muziki Bongo, Jux amesema kuwa uimara wa mahusiano yake na Vanessa Mdee a.k.a Vee Money umechangiwa na kuvumiliana na kuwa mkweli kwa kila jambo.
Tutavionajee Wakatiii Mmevivaliaa Chupiii Hatuweziiih Kuviiionaah Kwer
Mambo ni mengi katika masuala ya mahusiano ni kuomba Muumba