Burudani
Kaka Jay: Nyimbo za kizalendo zinalipa sana, Wasanii wa Bongo Fleva wengi wana njaa (Video)
Msanii wa muziki, Kaka Jay ambaye wiki chache zilizopita ameachia wimbo ‘Nampenda Magufuli’, amefunguka kwa kudai kwamba nyimbo za kizalendo zinalipa huku akidai wasanii wengi wa BongoFleva maisha yao ni mabovu na wachache wanaotumia kiki ndio wanaofanya vizuri.