Burudani
King Sempa aachia mixtape mpya ‘City Of DSM’, isikilize hapa
Msanii na mtangazaji wa Kiss FM, King Sempa ameachia mixtape yake mpya yenye ngoma 7 ndani yake.
Miongoni mwa ngoma zinazopatikana katika mixtape hiyo ni ‘Sina Jambo Remix’ ya Bill Nass, ‘Dreamer’, ‘From Nothin’, ‘On My Own’, ‘Been Thru’, ‘Never Forget’ na ‘On My Own’.
Mixtape hiyo imetayarishwa na producer Aswile. Hii ni mixtape ya pili kwa msanii huyo ukiachana na ‘255 Come Up’ aliyoitoa mwezi October mwaka jana.
Bonyeza hapa kusikiliza mixtape hiyo