Michezo

Kiungo mpya wa Yanga SC atua leo mazoezini

Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya Yanga imefanikiwa kumsajili kiungo wa Mbeya City, Raphael Daud kwa mkataba wa miaka miwili.

Mchezaji, Raphael Daud 

Daud anatarajiwa kujiunga leo katika mazoezi ya klabu hiyo ambayo imeweka kambi yake mjini Morogoro.

Yanga imemsajili Daud kwa ajili ya kuimarisha eneo lao la kiungo ambalo limekuwa na mapungufu makubwa hasa baada ya kumkosa, Haruna Niyonzima kwaajili ya  msimu ujao.

By Hamza Fumo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents