Michezo
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto aachiwa kwa dhamana Mkoani Shinyanga
Mchezaji wa Klabu ya Simba, Mwinyi Kazimoto ameachiwa kwa dhamana baada ya shauri lake kusikilizwa kizimbani katika mahakama ya Mkoa wa Shinyanga, jana Feb 22.
Kazimoto anatuhumiwa kumshambulia mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Communication Ltd, Mwanahiba Richard.
Huyo ndo mwandishi Mwanahiba Richard aliye fanyiwa shambulio
Hata ivyo kiuongo huyo ameachiwa kwa dhamana na kesi yake itasikilizwa kwa mara nyingine tena mwezi Machi 21, mwaka huu.