Burudani

Lupita Nyong’o alijia juu jarida la Grazia la UK kwa ubaguzi

Lupita Nyong’o amelijia juu jarida la Grazia la Uingereza kutokana na kuonekana kuwa wabaguzi.

Mrembo huyo kutoka Kenya ambaye pia ni muigizaji wa Hoolywood, ameonekana kwenye kava la jarida hilo la mwezi huu lakini kupitia mtandao wake wa Instagram amefunguka kwa kusema jarida la Grazia linalenga chuki dhidi wanawake weusi, aina ya nywele pamoja na mionekano yao.

Kupitia mtandao huo Lupita ameandika:

As I have made clear so often in the past with every fiber of my being, I embrace my natural heritage and despite having grown up thinking light skin and straight, silky hair were the standards of beauty, I now know that my dark skin and kinky, coily hair are beautiful too. Being featured on the cover of a magazine fulfills me as it is an opportunity to show other dark, kinky-haired people, and particularly our children, that they are beautiful just the way they are. I am disappointed that @graziauk invited me to be on their cover and then edited out and smoothed my hair to fit their notion of what beautiful hair looks like. Had I been consulted, I would have explained that I cannot support or condone the omission of what is my native heritage with the intention that they appreciate that there is still a very long way to go to combat the unconscious prejudice against black women’s complexion, hair style and texture. #dtmh

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents