Burudani
Mariah Carey afunguka kuhusu albamu yake mpya na kufanya kazi na Roc Nation
Mariah Carey ataonekana katika cover la jarida la V Magazine katika toleo la mwezi Machi mwaka huu.
Katika jarida hilo Carey amefunguka kuhusu albamu yake mpya na kufanya kazi na Roc Nation ya Jay z.
“I’m in the studio starting a new album of regular music…Meaning it’s not a Christmas album. I’m kind of restarting, and I’m working with Roc Nation now, so that’s great,” amesema Mariah kwenye jarid hilo.
Jarida hilo linatarajiwa kutoka Ijumaa hii ya Machi, 9.