Burudani
Mashujaa waongeza wanenguaji
Bendi ya muzuki wa dansiĀ nchini Mashujaa Music bend wamesema kwa sasa wamekusanya wacheza shoo almarufu kama wanenguaji kutoka bendi mbalimbali kwaajili ya kuboresha bendi yao. amesema baadhi ya wacheza show hao ni
Dogo Nyamwela, kutoka TOT Plus,Aisha Twiga kutoka Mapacha watatu,Suzi kutoka Kimwana Twanga Pepeta na BabyWaitt pamoja na Jack kutoka Rufita Connection. Jadol Ffu kiongozi wa kundi hilo amesema kwa sasa wamepeleka wimbo wao mpya radioni unaoitwa Hukumu ya Mnafiki.