Michezo
Mayweather kurudia kuzichapa na Maidana Sept 13
Bingwa wa dunia wa ngumi za uzito wa kati Floyd Mayweather ametangaza kuwa atapanda ulingoni kupambana na Marcos Maidana, Septemba 13 mwaka huu mjini Las Vegas.
Mayweather akizichapa na Maidana katika pambano lililopia
Kupitia ukurasa wa Myweather amesema: Mayhem Mayweather vs. Maidana 2, September 13, 2014 MGM Grand in Las Vegas Live on Showtime PPV
Mayweather alimzidi Maidana katika mpambano ambao ulizua utata mwezi Mei, na alisema kuwa atarudiana na Muargentina huyo katika ulingo wa MGM Grand, Las Vegas.