Habari
Mbaroni kwa tuhuma 160 za ubakaji, Ufaransa
Raia mmoja wa Italia, amekamatwa nchini Ufaransa, baada ya waranti ya kukamatwa kwake iliyotolewa na Ujerumani, ambako alikuwa akitafutwa kwa mashtaka 160 ya ubakaji au unyanyasaji wa kingono kwa watoto wadogo wa wenzi wake.