Habari

Mbwa watumika kubaini wenye CORONA uwanja wa ndege Finland (+Video)

Mbwa wa kunusa waliopewa mafunzo ya kubaini Covid-19 wamepelekwa uwanja wa ndege wa Finland Helsinki-Vantaa kusaidia kukabiliana na janga la corona.

https://www.instagram.com/p/CFrcZryB-Bf/

Majaribio yanafanyiwa abiria waliojitolea. Mtafiti anayeongoza utafiti huo anasema majaribio hayo yameonesha matokeo ya kufana lakini usahihi wa mbwa hao bado haujathibitishwa.

”Nchini Finland, kuna mradi wa unaowahusisha mbwa kunusaabiria katika uwanja wa ndege wa Finland Helsinki-Vantaa wanaojitolea.”- Kwa mujibu wa taarifa za utafiti

”Watu wanafutwa shingoni kwa vitambaa, kisha sampuli hiyo hupewa mbwa aliyefunzwa kunusa na akibweka inamaana virusi vimebainika. Matokeo yake yanawasilishwa kwa dakika.”

 

IMEANDIKWA NA @fumo255 (Video Creadit by Guardian News)

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents