Burudani
Mfahamu chipukizi anayefananishwa na Aslay (+Video)
Msanii wa Bongo Flava, Tiki Flavour ameadai alivutiwa na Dullysykes kuingia kwenye muziki hasa uimbaji wake, huku akimtaja Aslay kuwa amemfanya akaze zaidi na kutamani kufika levo zake. Mtazame kwenye video hii akieleza.