Habari
Miss Chang’ombe
Miss Vodacom Chang’ombe 2009 Sia Ndeskoi akipunga mkono kwa mashabiki
mara baada ya kutangazwa mshindi katika shindano la Miss Vodacom
Chang’ombe 2009, kulia ni mshindi wa pili Fatma Yassin na kushoto ni
mshindi wa tatu Sara Steven
Shindano hilo limefanyika kwenye ukumbi wa Tcc Sigara Chang’ombe jijini Dar Usiku wa Ijumaa iliopita.