Habari

Mkakati umepangwa nikamatwe na polisi – Mh. Lema

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema kuwa kuna  mkakati umepangwa na jeshi la polisi ili akamatwe.

Mh. Lema kupitia ukurasa wake wa twitter amesema kuwa wanaishi maisha magumu na hawana budi kuvumilia maisha hayo.

Mkakati umepangwa,nikamatwe na na Jeshi la Polisi leo,maelekezo yamekwishatolewa .Tunaishi maisha magumu sana,hatuna budi kuvumilia.

Lema ni Mbunge ambaye amezoeleka mara nyingi kutumia ukurasa wake wa twitter kueleza mambo mbalimbali yanayoihusu jamii na yeye pia.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents