Mkali wa vina Solo Thang, anakutana na mkali wa free style Godzila
Mwanamuziki mkogwe katika game hili la Bongo Fleva Msafiri almaarufu kama Mtravellah ila ukipenda unaweza kumwita uramah katika biashara ya muziki anajulikana kama Solo Thang, ambaye amekuja na ujio wa kipekee kwa kuuza kazi zake kwa njia ya mtandao hasa albamu yake ya Uwezo Mia mia Vol I.
mwanamuziki huyo ambaye kwa sasa amejichimbia hukoo mbele na kufanya kazi zake, kiinternational zaidi, bila ya kufuatanafuatana kwa kusumbuana na maproducer wala na wadosi, kwa kutuma kazi zake kimtandao tandao, hivi karibuni ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Mia Mia, akiwa na mkali wa Free style Godzila ikiwa kama karibu 2012.
Hebu fikiria mkali wa vina anapokutana na mkali wa Free Style, nini kitajili……………
Solo thang feat Godzila- Uwezo Mia mia
{hwdvs-player}id=1688|width=560|height=340{/hwdvs-player}
Kariakooo, Sinza, Mwenge, Posta, Kibaha, Buguruni,Kawe, Tandale, Manzese, Uzuri, ……… Unaweza kushangaa kutaja maeneo yote hayo. ila hebu angalia wimbo huu, na utangundua jamaa amefanya bonge la kazi, ambayo research yake pekee ya kutafuta majina ya vitongoji ni kazi…. kama kwenu hapaja tajwa ujue haupo Dar es salaam
Anaitwa Yaki Feat Chibwa-Popote Nipo
{hwdvs-player}id=1687|width=560|height=340{/hwdvs-player}