Michezo
Mkhitary kuanza leo dhidi ya Feyernoord
Kocha wa klabu ya Manchester United, Jose Mourinho amesema kwamba kuelekea mchezo wao wa UEFA Europa, atamchezesha mchezaji Henrikh Mkhitaryan kwenye mtanange huo ambao watapambana na Feyernoord kwenye michuano hiy.
Mourinho aliyasema hayo baada ya kuulizwa na waandishi ni kwanini hakumpanga mchezaji huyo kwenye mechi iliyo pita dhidi ya Arsenal.