Mtikila matatani

Image
Mahakama ya Hakimu mkazi ya Kisutu imetoa haki ya kukamatwa kwa mwanasiasa mkongwe nchini, Mch. christopher Mtikila baada ya kushindwa kufika mahakamani katika muda uliopangwa kusikilizwa kesi dhidi yake ya kumkashifu Rais Jakaya Kikwete kwa kumwita gaidi, kosa analodaiwa kutenda Oktoba 21 mwaka jana kwenye maghorofa ya NHC Ilala. hata hivyo baadaye alifika mahakamani hapo na kukumbana na mkono wa sheria

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents