Mtikila matatani
Mahakama ya Hakimu mkazi ya Kisutu imetoa haki ya kukamatwa kwa mwanasiasa mkongwe nchini, Mch. christopher Mtikila baada ya kushindwa kufika mahakamani katika muda uliopangwa kusikilizwa kesi dhidi yake ya kumkashifu Rais Jakaya Kikwete kwa kumwita gaidi, kosa analodaiwa kutenda Oktoba 21 mwaka jana kwenye maghorofa ya NHC Ilala. hata hivyo baadaye alifika mahakamani hapo na kukumbana na mkono wa sheria