Habari

Mtoto wa Rais Mugabe amkingia kifua baba yake na kuitukana Zanu-PF

Mtoto wa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe na mkewe Grace, Chatunga Bellarmine Mugabe amemsifu baba yake na kukitukana chama cha Zanu-PF.


Rais Robert Mugabe akiwa na mkewe Grace pamoja na mtoto wao wa tatu Chatunga

Mtoto huyo ambaye ni watatu katika familia ya Rais huyo ametoa maneno hayo kupitia mtandao wake wa Facebook kwa kukiambia chama hiko kuwa hakiwezi kufanya lolote bila Rais Mugabe. Kupitia mtandao huo, Chatunga ameandika:

“You can’t fire a Revolutionary leader ! Zanu Pf is nothing without President Mugabe ✊ Gushungo will always remain the champion of champions! Proud of you Gushungo Proud of Dad. Gushungo always and forever to death✊ People like Wellence Mujuru celebrate and march became of Jealous and ruchiva acting as if he cares for the people and unnecessary attacks !
We all grow up in life and take up our responsibility to serve our country. We all have a responsibility to keep this country safe and guard our sovereignty. God bless all who sacrifice for our nation Zimbabwe

Chama cha Zanu-PF kimemtaka Mugabe kujiuzulu Urais wa nchi hiyo mpaka kufikia leo mchana.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents