Ndovu imepata tuzo Ujerumani
Meneja wa Ndovu Lager Oscar Shelukindo (TBL) pamoja na Mpishi mkuu wa kampuni hiyo (Chief Brewer) Gaudence Mkolwe wamepokea tuzo ya dhahabu iliyopata kilaji cha Ndovu kwenye sherehe za ubora wa bidhaa za Monde Selection ambazo zimefanyika rasmi katika ukumbi wa Kurhaus jijini la Wiesbaden, Ujerumani.