Muziki

New Audio: Rosa Ree & Navy Kenzo – Mchaga

Female Rapper ambaye anatisha kwa sasa Bongo, Rose Ree kutoka label ya The Industry ameachia ngoma mpya ‘Mchaga’ ambayo amewashirikisha Navy Kenzo, prodyuza wa ngoma hii ni Nahreel. Hii inakuwa kolabo ya pili kwa Rosa Ree baada ya remix ya ngoma ya One Time aliyompa shavu Khaligraph Jones kutoka nchini Kenya.

https://youtu.be/74KusQwCDiA

By Peter Akaro

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents