Burudani

Nimekuja Dar kumuona mtoto wangu Alikiba – Yvonne Chaka Chaka (+video)

Msanii mkongwe Afrika Kusini Yvonne Chaka Chaka ameeleza sababu kubwa ya kuja Tanzania ni kumuangalia mtoto wake Alikiba na pia kuja kuachia rasmi wimbo wao mpya unaoitwa ‘Akili ya Mama’ ambao waliorekodi mwishoni mwa 2016.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents