Habari
Odemba alea Mimba Ufaransa
Miss Earth Air wa mwaka 2008 na long time model Miriam Odemba, kwa sasa yupo nchini Ufaransa akilea mimba pamoja na mchumba wake Laurent.
Habari zilizofikia Bongo 5 zinasema kwamba model huyo anatarajia mtoto wa kike atakaye kwenda kwa jina la Iris aka Mboni ya jicho. Miriam kwa sasa ni mzima wa afya na tunamtakia kila la kheri na baraka kwa muda huu.