Burudani

Picha: AY amvisha pete mpenzi wake wa muda mrefu

Rapper Ambwene Yessayah maarufu kama AY ameonyesha kuwa amechoshwa na ukapela.

Msanii huyo Alhamisi hii ameamua kumvisha pete mchumba wake wa muda mrefu Remy, raia wa Rwanda ambaye ajabu amekuwa naye tangia mwaka 2008.

Kwa mara yakwanza AY amemtambulisha mpenzi wake huyo Disemba mwaka jana wakati wa birthday ya mrembo huyo.

Sherehe hiyo ilihudhuriwa na watu wa karibu wa wawili hao. Kwa kitendo hicho tunatarajia kuiona ndoa ya Ay na mpenzi wake huyo siku sio nyingi.

Picha na Mx Carter

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents