Burudani
Picha: Flaviana Matata alivyokutana na Waziri Mwakyembe
Waziri wa Habari, Utamaduni , Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amekutana na Mwanamitindo Flavian Matata alipotembelea viwanja vya Bunge leo March 17, 2018 Jijini Dodoma.
Waziri wa Habari, Utamaduni , Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amekutana na Mwanamitindo Flavian Matata alipotembelea viwanja vya Bunge leo March 17, 2018 Jijini Dodoma.