Michezo

Picha: Joto lawatesa wachezaji wa Arsenal

Klabu ya Arsenal ineaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya msimu mpya wa wakiwa jijini Shangai, China, joto la mji huo limepanda hadi kufikia nyuzi joto 30, hali iliyosababisha kocha Arsene Wenger kuwapoza wachezaji wake kwa kuwaingiza katika maji ya barafu

Kutokana na hali hiyo baadhi ya wachezaji walionekana kulalamika hali hiyo ya joto kuwa kali. Baadhi ya wachezaji walikubaliana na hali hiyo ya Wengine walikubaliana na hali hiyo na

Mohamed Elneny, Aaron Ramsey, Olivier Giroud, Theo Walcott na Danny Welbeck walionekana kushindwa.

Zifuatazo ni picha

The midfielder did not look too pleased at having to endure the cold

Mchezaji, Mohamed Elneny akionyesha kutofurahishwa na hali ya hali hiyo 

But Gunners striker Olivier Giroud appeared perfectly relaxed in the freezing water

Lakini mchezaji wa Gunners, Olivier Giroud akionekana kufurahia maji hayo

Aaron Ramsey had to take on the ice as part of the recoveryTheo Walcott didn't look like he was enjoying his ice bath at all

Wachezaji , Aaron Ramsey (kushoto) na  Theo Walcott wakionekana katika chombo hicho kilichowekwa maji ya barafu ili kuiweka sawa miili yao

Welbeck grimaced as he hit the ice cold waterDanny Welbeck looked immensely uncomfortable as he jumped into an ice bath in China

Mchezaji wa Arsenal, Danny Welbeck akiingia katika chombo kilicho hifadhi maji ya barafu nchini China

Wachezaji wa Arsenal wakionekana kujifunza mchezo wa ngumi (Kung Fu) wakati timu hiyo ikifanya sherehe na mashabiki zake Shanghai

By Hamza fumo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents