Habari
Picha: Maandalizi ya ndoa ya Prince Harry na Meghan Markle
Tukio ambalo linasubiriwa kwa hamu kubwa duniani kote ni kushuhudia ndoa ya Prince Harry na Meghan Markle inayotarajiwa kufanyika Jumamosi hii ya Mei 19.
Asilimia kubwa ya maandalizi ya sherehe hiyo yameshakamilika huku kikubwa kinachosubiriwa ni kulishuhudia tukio hilo ambalo linatarajiwa kuhudhuriwa na wageni kibao kutoka mataifa mbali mbali duniani. Tazama picha za maandqalizi ya sherehe hiyo yanavyokwenda huko Uingereza.