Burudani
Picha: Nicki Minaj amtumia Blac Chyna kwenye video yake mpya
Rapper Nicki Minaj ameingia location mrembo Blac Chyna kwa ajili ya kutengeneza video yake mpya ya wimbo uitwao ‘Rake It Up’.
Katika video ya wimbo huo ambao amewashirikisha wasanii wengine Yo Gotti na Mike WiLL Made-It, yametumika magari ya kifajhari zaidi.