Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo October, 23 ametuku vyeti Maalum vya shukrani kwa kamati maalumu za uchuguzi na majadilino kati ya Serikali na Kampuni ya uchimbaji madini ya Barrik Gold Corporation ambayo yalifanikiwa.
Picha zote na Ikulu