Michezo

Picha: Simba walivyoibuka washindi wa Mtani Jembe 2013 kwa kuifunga Yanga goli 3 -1

Wekundu wa Msimbazi, Simba Sport Club jana waliibuka washindi wa mechi ya Mtani Jembe 2013 kwa kuwafunga watani wao wa jadi Yanga African goli 3-1 katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

Wekundu wa Msimbazi wakishalia na kombe lao.
Wekundu wa Msimbazi Simba Sport Club wakishangilia pamoja na kombe lao

Mchezo huo maalum wa kufunga promotion ya ‘Nani Mtani Jembe 2013’ lililoandaliwa na Kilimanjaro Premium Lager umewafanya Simba kuibuka na kombe hilo,medali pamoja na hundi ya shilingi milioni 1,061,600 iliyotokana na mashabiki wa Simba kunywa bia ya Kilimanjaro na kutuma ujumbe wa namba kwa timu yao.

Yanga baada kufungwa goli 3-1 na Simba katika mechi hiyo ameibuka na kombe dogo,medali pamoja na shilingi milioni 98,938,400 zilizotokana na mashabiki wa Yanga kunywa bia ya Kilimanjaro na kutuma ujumbe wa timu yao.

Magoli ya simba yaliwekwa kimiani na mshambuliaji wake mahiri mwenye kasi nyingi na mbinu lukuki za ufungaji Hamisi Tambwe aliYEpachika magoli 2 huku bao la tatu likifungwa na mchezaji aliyesajiliwa dirisha dogo kutoka Mtibwa Awazi Juma. Goli la Yanga lilifungwa na Emmanuel Okwi kwa kichwa.

Wachezaji wa Simba wakishangilia.
Wachezaji wa Simba wakishangilia

Kocha mkuu wa Yanga na wasaidizi wake kabla ya mechi kuanza.
Kocha mkuu wa Yanga na wasaidizi wake kabla ya mechi kuanza.

Kocha wa makipa wa Yanga akiwapa mazoezi makipa wa Yanga.
Kocha wa makipa wa Yanga akiwapa mazoezi makipa wa Yanga

Kocha wa Simba Zdravko Logarusic akiwa na wasidizi katika benchi la ufunzi la Simba.
Kocha wa Simba Zdravko Logarusic akiwa na wasaidizi katika benchi la ufundi la Simba

Kocha wa Simba Zdravko Logarusic  akifikiria jambo kabla ya mechi kuanza.
Kocha wa Simba Zdravko Logarusic akifikiria jambo kabla ya mechi kuanza

Kikosi cha Simba kilichoipoteza Yanga kwa magoli  3-1
Kikosi cha Simba kilichoipoteza Yanga kwa magoli 3-1

Meneja wa Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe,wadhamini wa promotion ya Nani Mtani Jembe  akikalidhi hundi ya pesa kwa viongozi wa Yanga.
Meneja wa Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe ambao ni wadhamini wa promotion ya Nani Mtani Jembe akikabidhi hundi ya pesa kwa viongozi wa Yanga

Okwi akiwa anasalimia mashabiki wa Yanga baada ya kuingia uwanjani.
Okwi akisalimia mashabiki wa Yanga baada ya kuingia uwanjani

Shabiki akikimbizwa hospitali baada ya kuzimia.
Shabiki akikimbizwa hospitali baada ya kuzimia

Simba wakikabidhiwa kombe la ushindi wa mechi Nani Mtani Jembe ,baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Yanga.
Mgeni rasmi Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe akikabidhi kwa Simba kombe la ushindi

Simba walianza mchezo kwa dua maalum.
Simba walianza mchezo kwa dua maalum

Waigizaji Mashabiki wa Yanga Shamsa Fodi akiwa na Maya wakifuatila mpira kwa makini.
Waigizaji wa filamu ambao ni mashabiki wa Yanga Shamsa Ford na Maya wakifuatila mpira kwa makini

Wekundu wa Msimbazi wakishalia na kombe lao.
Wekundu wa Msimbazi wakishangilia na kombe lao

Simba wakikabidhiwa hundi yao ya milioni 1,061,600 zilizotokana na promotion ya shindano la Nani Mtani Jembe, kwa mashabiki  wa Simba kunywa bia ya Kilimanjaro nakutuma ujumbe wa time yao
Simba wakikabidhiwa hundi yao ya shilingi milioni 1,061,600 zilizotokana na promotion ya Nani Mtani Jembe

Yanga wakikabidhiwa hundi yao ya milioni 98,938,400 zilizotokana na promotion ya shindano la Nani Mtani Jembe,iliyotokana mashabiki  wa Yanga kunywa bia ya Kilimanjaro nakutuma ujumbe wa time yao.
Yanga wakikabidhiwa hundi yao ya shilingi milioni 98,938,400

IMG_5702

Gerson Tegete

IMG_5508

IMG_5510

IMG_5537

IMG_5587

IMG_5589

IMG_5590

IMG_5598

IMG_5605

IMG_5609

IMG_5638

IMG_5639

IMG_5640

IMG_5642

IMG_5645

IMG_5658

IMG_5661

IMG_5662

IMG_5664

IMG_5703

IMG_5705

IMG_5709

IMG_5711

IMG_5712

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents