Habari
Picha za sherehe ya kuzaliwa kwa Malkia wa Uingereza, Elizabeth
Malkia wa Uingereza, Elizabeth jana April 21 alitimiza miaka 90 tangu alipozaliwa mwaka 1926.
Malkia Elizabeth ndiye ameweka rekodi ya kuiongoza miaka mingi nchi hiyo tangu mwaka 1954.
Tangu wiki iliyopita watu wengi kwenye mitaa ya nchi hiyo walikuwa wakifanya maandalizi ya kusherehekea siku hiyo muhimu kwa Malkia Elizabeth hasa kwenye mji wa Birmingham ambapo ndipo ilipo ikulu ya malkia.
Hizi ni baadhi ya picha kwenye sherehe hizo:
Malkia Elizabeth akipokea zawadi ya ua
Malkia na mumewe, Prince Philip wakiwapungia mikoni watu waliohudhuria sherehe hiyo
Malkia Elizabeth akiwa na wajuu zake
Malkia akiwa kwenye gari na mume wake Prince Philip
Malkia Elizabeth akiwa na mwanae Prince Charles, wajukuu zake Prince William na Prince George