Burudani
Picha za utata za Akothee zawatoa udenda mashabiki
Akothee aka Madam Boss ameonyesha na yeye si wa mchezo mchezo bado anaweza kushindana na wasichana ‘vigori’.
Muimbaji huyo wa Kenya amewachanganya mashabiki kwa kuwatoa udenda kutokana na picha alizozipost kwenye mtandao wake wa Instagram huku sehemu kubwa ya mwili wake ikionekana.
Hizi ni baadhi ya comment za mashabiki kwenye mtandao huo.
loreenomolo
Eiiish madam Boss kuja Pole Pole
gody_goodiee
Waaaaaaaaaaaahhh she got a bright past..
denicekirui
Mmmm I know to handle stolen goods
tablazecaits
Daaamn lukin sxy
simonbokar
Woohh nice black booty