Michezo
Ratiba ya Europa League raundi ya 16 bora imetoka Man United kukutana na Liverpool
Michuano ya Europa League raundi ya 16 bora Draw imefanyika leo Feb 26 miamba ya ligi ya England Liverpool na Manchester United watakutana kwenye mchezo wa hatua hiyo.
Tottenham wao watapambana na vigogo vya Bundesliga Borussia Dortmund.
Michezo hiyo itapigwa Alhamisi, 10 na 17 March mwaka huu. Bingwa wa michuano hiyo atafuzu kucheza michuano ya Champions League msimu ujao
Hii ndiyo ratiba ya Europa League raundi ya 16 bora
Shakhtar Donetsk v Anderlecht
Basel v Sevilla
Villarreal v Bayer Leverkusen
Athletic Bilbao v Valencia
Liverpool v Manchester United
Sparta Prague v Lazio
Borussia Dortmund v Tottenham
Fenerbahce v Braga