Burudani
Rihanna aopoa mwanamasubwi
Mwanamuziki Rihanna ameonekana juzi jijini Londan kwenye Club ya Mahiki, akiwa na mwanamasubwi wa huko wakila bata. Mwanamasubwi huyo Dudley O’Shaughnessy anayesadikiwa kwamba ndiye kwa sasa anayetoka na Rihana, baada ya kukutwa
akigonga naye mitungi, na kucheza naye akiwa hana shaka wala hofu. Inasemekana Rihanna miongoni mwa kitu alichovutiwa kwa manamasubwi huyo ni kifua cha kijana huyo, ambacho kimejijenga kimazoezi.
Dudley O’Shaughnessy