Burudani

Rita Paulsen adai Nay wa Mitego ni msanii mbunifu, amkaribisha atumbuize kwenye EBSS

Rita Paulsen hana mpango wa kumshtaki Nay wa Mitego kwa kuichafua Bongo Star Search kwenye Salam Zao. Infact aliusikia wimbo huo hata kabla ya haujatoka.

1185959_596418857075506_439036066_n

Madam Rita alikuwa akiongea kwenye U Heard ya Clouds FM leo ambapo amezikanusha tetesi zilizopo mtaani kuwa amemfungulia kesi ya ‘defamation’ Nay kutokana na kuzusha kwenye wimbo huo kuwa washindi huwa hawalipwi fedha zote.

“Hata muda wa kuongelea hicho kitu naona ni wastage of time. He is not worth my time,” alisema Rita.

Hata hivyo, Madam Rita amesema Nay ni mbunifu na ametumia fursa hiyo kuimba wimbo uliokuwa gumzo baada ya kutoka.

“He is creative, big up to him, very creative you man.” Amesema hana tatizo kama Nay akiperform kwenye show hiyo na hata kama akiuimba wimbo huo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents