Burudani
Salha Israel Miss Tanzania 2011 / 2012
Mrembo namba 28 Salha Israel ndiyo mrembo aliyeibuka mshindi katika shindano la kumtafuta Miss Tanzania mwaka 2011 kwenda 2012 ambaye atashiriki katika michuano mikubwa zaidi ya kumtafuta Miss World.
Picha za matukio ya mamisi…………….