Burudani
Scanner aja na Thamani ya Pendo
Mwanamuziki chipukizi wa muziki wa bongo fleva, Rajabu Kunguge ‘Saji scanner’ amewaomba wasanii wakongwe kuacaha dharau na kudai fedha nyingi pindi wanapoombwa kushirikishwa na wasanii wachanga.
Amesemao tayari wameshakuwa na majina, wamekuwa wakiwatoza fedha nyingi ilikuwashirikisha, lakini akishapata jina wanakuwa rahisi wao kuomba,
ila kwa sasa ameshakamilisha albamu yake yenye nyimbo nane, ikiwemo Sauti ya Upole,Thamani ya pendo, Kupenda Majuto, Subira.