Burudani

Show za MBDOGGY zalalamikiwa Nchini UK

Msani MB-DOGG yupo nchini uingereza kwa ajili ya kupiga show kali nchini humo, But baadhi ya wadau wamelalamika na kutatizwa na MBDOGGY kutumia mtindo wa playback toka kwenye concert ambao Doggy katupia pale mji wa milton keynes ..

PROMOTER WAPI LIVE BAND..NA NI KWANINI PLAYBACK ?????
Hapa sijajua kwamba msala nimtupie nani !!!!..tuanzie kwa huyu mletaji msani.

Promoter unamleta msani toka afrika alafu anaimba juu ya cd(playback) hapo lengo hasa la kumleta huyo msanii kwa wale mashabiki wake ni lipi…? kama anaimba na cd..mie nilikuwa nafikiria kuwa ma promoter jaribuni kuwa sistizia wasani ambao mna wapeni mashavu ya kwenda nje kutangaza sanaa yao..waiimbe kupitia live band sio mambo ya play back cd..hapo tutakuwa tunainua na kukuza vipaji na vile vile kunenepesha mifuko ya wasani hao..coz ..naona wasani wanao imba live music mashabiki wao wana furahi na vile vile kuwaleta wasani kama wale ni gharama coz wanatoa burudani halisi sio cd play back..lakini mkaka DOGGY hongera but step up the Game to live band music kaka ..hicho ndio kitu ambacho dunia inataka kutokwa kwa wasani halisi sio wababaishaji..

Kutoka kwa mdau UK

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents